Thursday, 5 February 2015
KIKAO CHA KWANZA CHA BODI YA MRADI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI GEREZA KIGONGONI – BAGAMOYO KATI YA SHIRIKA LA MAGEREZA NA KAMPUNI YA TARBIM CHAFANYIKA LEO MJINI BAGAMOYO
SERIKALI KUDHIBITI UJANGILI WA BIASHARA HARAMU MAZAO YA MALIASILI
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa akijibu swali bungeni.
……………………………………………………………………………………
Na Lorietha Laurence-Maelezo,Dodoma
SERIKALI imejidhatiti katika kudhibiti ujangili na biashara
haramu ya mazao ya maliasili kwa kuridhia na kutekeleza mikataba minne
ya kudhibiti ujangali wa tembo na unaovuka mipaka na kulinda mapori ya
akiba.
Kuingia kwa sekta ya afya katika BRN kunaleta matumaini mapya
Mtendaji
Mkuu wa PDB Bw. Omari Issa akielezeaumuhimu wa sekta ya Afya kuingia
BRN kuungana na sekta nyingine zilizotangulia zinazoendelea kuzaa
matunda
Subscribe to:
Comments (Atom)