Wednesday 27 November 2013

IMG_2460 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi akizindua kitabu cha Mpango Mkakati wa miaka mitatu wa kuboresha madawati ya Kijinsia na Watoto ndani ya Jeshi la Polisi katika uzinduzi uliofanyika Kituo cha Polisi Chang’ombe, Temeke jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Said Mwema, wa pili kulia ni Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Dr. Alberic Kacou, wapili kushoto ni Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini, Balozi Filiberto Ceriani Sebregondi na Kushoto ni Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova. Waziri Nchimbi akatika hotuba yake alilishukuru Jeshi la Polisi pamoja na Viongozi wa Mashirika na Taasisi zisizo za Serikali kwa kusaidia masuala ya kupambana na unyanyasaji wa kijinsia nchini

MSHINDI WA MKWANJA MREFU WA MILIONI 50 EBSS 2013 ANUKIA KIUKWELI!!

EBSS FINALE PROMO POSTER 
Katika kuelekea Fainali ya EBSS 2013 kesho kutakuwa na Press Conference pale katika ufukwe wa ESCAPE ONE  Saa Tano Asubuhi, ambapo utawaona washiriki wote walioingia Fainali kwa pamoja kabla ya siku yenyewe ya Jumamosi tarehe 30 ambapo wote kwa pamoja tutashuhudia Yule Mshindi wa Milioni 50.
                                       Waliofanikiwa kuingia fainali ni Amina

Tuesday 26 November 2013

ANGALIA PICHA ZA MAHAFALI KATIKA SHULE YA SKILL PATH ILIYOPO SONGEA MSAMALA

 Wanafunzi wa darasa la sita wakimueleza mgeni rasmi namna ya kumpasua simblisi na kumfanya aishi tena


                                  Hawa nao standard six


                                                    MGENI RASMI AKIPIMA JANI

   Wanafunzi wa awali hatua ya tatu maarufu kama KG 3    Wahitimu
                                       Wanacheza kwaya

                         HAWA NI KG 1 wanawaaga wenzao
   HAWA NI KIDATO CHA NNE NI MAHAFALI YA KWANZA

Friday 22 November 2013

PICHA 15 ZA MAHAFALI YA 18 YA CHUO CHA UFUNDI STADI VETA SONGEA

                                                            Wahitimu wanacheza kwaya

                                                                               Wazazi
 Kulia ni kaimu mkurugenzi wa veta nyanda za juu kusini ALEUS EDWINI akiwa na mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti na wa kwanza kushoto ni mkuu wa chuo cha ualimu Songea
                          Vijana hawa wanapita wakionyesha mavazi ya askari Mgambo.
                                                          Vazi la wahitimu wa chuo kikuu
                                                                      Vazi la ofisini
                                                                     Vazi la kitchen part

                                                      Vazi la wasimamizi waharusi
                                                                   Vazi la harusi
                   hapa   wanamitindo wanafunzi wa chuo cha VETA SONGEA  wanaonesha shoo


                                                                        Wahitimu
                                                                 Wapiganaji hawakukosa

Tuesday 19 November 2013

KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI NDANI YA SONGEA VIJIJINI


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kata ya Kahegwa baada ya kushiriki shughuli za kubeba matofali kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya Kahegwa,Katibu Mkuu aliwaeleza wananchi hao kuimarisha moyo wa kujitegemea  kwani maendeleo ya Tanzania yataletwa na Watanzania wenyewe na si wahisani.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  akizungumza na mmoja wa wananchi aliyefarijika sana kwa kumsikia Katibu Mkuu akizungumza maneno ya msingi na yenye kutia moyo sana hasa katika suala la kujitegemea.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda mti kwenye zahanati ya Lusonga ambayo kwa asilimia kubwa imejengwa kwa nguvu za wananchi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ,akiwa pamoja na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Ndugu Jenista Muhagama ,Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Ndugu Oddo Mwisho na wakikata utepe wa kufungua jengo la Zahanati ya   Lusonga.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisiliza taarifa ya kikundi cha akina mama wajasiriamali  watengeneza sabuni ambayo ilisomwa na Fransisca Andrea.
Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akiweka jiwe la msingi la jengo la  Ofisi ya tawi la Mlandizi, Peramiho wilaya ya  Songea vijijini.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Peramiho ,wilaya ya Songea Vijijini  mkoani Ruvuma.
Mbunge wa Jimbo la Peramiho  Ndugu Jestina Muhagama akihtubia wakazi wa Peramiho na kuzungumzia matatizo sugu yanayo wasunbua wananchi wa jimbo lake hasa ukosekanaji wa Pembejeo na kutolipwa pesa wanayodai serikali kwa wakati.

Monday 18 November 2013

KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI ATUA SONGEA NA KUONGEA NA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU

9 10 11 12 
Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa akiwasalimia wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Biashara na Ushirika mjini Songea leo. 13

Friday 15 November 2013

MKUU WA WILAYA YA SONGEA AZINDUA RASMI MICHEZO YA MAJESHI YA KANDA YA KUSINI INAYOFANYIKA RUVUMA-SONGEA

                                              Wanamichezo wanaingia kwa maandamano


                                             Mkuu wa wilaya ya Songea akipokea Maandamano
                                                 Kareti kutoka kwa vijana wa JKT Mlale
                                  Mkirikiti anazindua michezo hiyo kwa kupiga pisto light hewani
        Pia alizindua kwa kupiga penati moja matata sana ambayo mlinda mlango hakuiona
                                  Baada ya uzinduzi ni mpira wa miguu tayari kuanza michezo hiyo

TUPE MAONI YAKO