Thursday 30 October 2014

Wanafunzi  130 wa shule ya sekondari MBUNGA iliyopo katika kijiji cha NAIKESI kata ya KITANDA katika wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma Wameshindwa kumaliza kidato cha nne kwa kukatisha masomo yao kutokana na kupata mimba na utoro na kifo na kukariri darasa.

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO