Wednesday 13 February 2013

MWANDISHI WA HABARI WA TBC GERSON MSIGWA SIKU ALIPOKEA TUZO YA MWANDISHI BORA WA HABARI ZA POLISI KWA MKOA WA RUVUMA


Mwandishi wa TBC Gerson Msigwa akipewacheti cha pongezi kutokana na juhudi za kutangaza kazi zinazofanywa na Jeshi la Polisi bila kuegemea upande wowote, Katikati ni Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Kazielege Nsimeki na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo.

 Gerson Msigwa akiwa na Mke wake Catherine Nyoni wakiwa katika nyuso za furaha

 Gerson Msigwa akipunga mikono kuwasalimia wageni waalikwa

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO