Friday 25 October 2013

Mbunge wa Jimbo la SOngea MJini Dkt Emmanuel Nchimbi (CCM) na Diwani wa Songea Mjini Joseph Fuime (CHADEMA ) wakipokea maswali na hoja mbalimbali toka kwa wananchi kwenye mkutano wa Hadhala eneo la Mahenge C kata ya Songea Mjini Leo.mbunge yupo ziara ya kusikia toka kwa wananchi Kabla ya kikao Cha bunge wiki Ijayo

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO