Tuesday 1 October 2013

WAZEE WA SONGEA WATUMIA SIKU YA WAZEE KUPELEKA MAJINA NA SAINI ZA WAZEE KWA MKUU WA WILAYA YA SONGEA KUIKUMBUSHA SERIKALI KUWALIPA PENSHENI.

 Mkuu wa wilaya ya Songea JOSEPH JOSEPH MKIRIKITI akiwaasa wazee waliokwenda ofisini kwake kuendelea kutumia fursa walizonazo kujipatia kipato.
                              Baadhi ya wazee wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Songea

Hapa Mzee mwalimu Hassara anamkabidhi Mkuu huyo wa wilaya majina na saini za wazee

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO