Thursday 6 August 2015

MAHAKAMA NCHINI KUMUUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE





Serikali ya awamu ya nne katika mahakama nchini Imesaidia kuboresha utoaji wa haki kwa wakati ,kukuza utawala bora, kulinda amani ya nchi na ukuaji  wa demokrasia.

Akizungumza katika hafla ya kumuaga aliyoandaliwa na mahakama kuu nchini, KIKWETE amesema serikali yake imefanikiwa kuongeza bajeti ya mahakama hadi kufikia bilioni 89, kuongeza watumishi wa mahakama ikiwemo majaji kwa uwiano wa jinsia na kuboresha maslahi ya watendaji jambo linalopelekea mahakama kufanya kazi kwa ufanisi.
                      
Hafla hiyo ya kumuaga Rais JAKAYA KIKWETE imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo wa ulinzi na usalama,  majaji wa Mahakama Kuu, wanasheria wa serikali na mawakili.















No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO