Wednesday 5 August 2015

RAIS JAKAYA KIKWETE AMEWAAPISHA MAJAJI 14 IKULU LEO.





Rais JAKAYA KIKWETE amewaapisha MAJAJI 14 ambao wameteuliwa hivi karibuni katika hafla fupi iliyofanyika IKULU jijini DSM hafla amabyo imeudhuriwa na viongozi na wadau mbalimbali wa sekta ya mahakama.




Majaji KUMI na WATATU  walioapishwa wanatarajiwa kwenda kufanya kazi MAHAKAMA KUU na JAJI mmoja ni wa MAHAKAMA ya RUFANI.




MAJAJI wa Mahakama kuu walioapishwa ni PAUL KASTUS , LAMECK MLACHA ,SALIMA CHIKOYO, ISAYA KWEKA  ADAM MAMBI,ISSA MAIGE, REHEMA KEREFU , JULIUS MALABA na SILUS MATUPA.




Wengine ni LUCIA GAMUYA, BIN HAJI SHABAN, VICTORIA LYIMO MAKANI, na WIRFRED PETER ambapo jaji RICHARD MZIRAY ameapishwa kuwa jaji wa mahakama ya Rufani.

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO