Monday 25 March 2013

Picha za matukio ya Kikao cha Baraza la wafanyakazi kinachoendelea kwenye ukumbi wa baraza la Maaskofu kurasini (TEC)


Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Gaundentia Kabaka (Mb) akifungua Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA), mapema leo 25/03/2013, katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu Kurasini (TEC) jijini Dar es Salaam
 
 Baadhi ya Wafanyakazi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa kazi (OSHA), wakimsikiliza kwa makini Mgeni rasmi Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Gaundentia Kabaka (Mb)  wakati wa ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi  katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu Kurasini (TEC) jijini Dar es Salaam

Washiriki wa Baraza la Wafanyakazi wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Gaundentia Kabaka (Mb)

Habari zote na Afisa Uhusiano OSHA

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO