Thursday 7 March 2013

SAI-BABA EXPLESS LA GONGA NA KUUA HAPO HAPO- SONGEA


 TUNAOMBA RADHI KUNAPICHA SINZURI KWA KUANGALIA ILA IMETUBIDI TUWEKE KWA AJILI YA KUONYESHA UKWELI WA JALI JINSI ILIVYOTOKEA

 Hili ndio Bus lililogonga  lenye namba za usajili T 690 BUW

Hawa ni abilia wakieleza namna ya ajali ilivotokea leo maeneo ya kwa Mburushi
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma Bw. Deusdedit Nsimeki alie vua kofia akiwa katika eneo la tukio maeneo ya kwa Mburushi
Dereva wa Bus la Sai - Baba Expless  Bw. Robison Sanke (57
 Hii ndio pikipiki ya marehemu  Steven Adam (62) yenye namba za usajili  T 618 ATX
 Umati wa wasafiri wakiwemo wapita njia wakiangalia ajali hiyo mbayailiyotokea leo majira ya saa moja asubuhi, TUNAOMBA RADHI KWA PICHA ZINAZOFUATA HAPO CHINI KWANI ZINATISHA,
 Hivi ndivyo ilivyotokea ajali hiyo leo majira ya saa moja maeneo ya kwa Mburushi 
Mwili wa Steven Adam ukiwa umelala chini baada ya ajali

Bus la Kampuni ya SAI – BABA EXPLESS lenye namba ya usajili  T 690 BUW likiwa safarini kuelekea Dar Es Salaam likitokea Songea limepata ajali leo majira ya saa moja na nusu asubuhi maeneo ya kwa Mburushi mjini songea.
Bus hilo limemgonga Dereva wa pikipiki (yeboyebo) ambaya ni mkazi wa Liumbu Mletele aliejulikana kwa jina la Bw. Steven Adam (62) mfanya biashara ya maziwa .
 Marehem Steven alikuwa akielekea mjini kupeleka mazima yake kwa wateja ndipo alipotwa na mahuti hayo. Kwa maelezo ya wasafiri wamesema mwenye makosa ni dereva Pikipiki ambaye hakuwa makini barabari kwa kuendesha vibaya na kwamwendo kasi pasipo kuzingatia sheria za barabarani.

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO