Sunday 18 August 2013

 Baadhi ya waandishi wa habari wa manispaa ya Songea wakiwa kwenye picha ya pamoja na mwezeshaji wa mafunzo ya internet and Journalism aliyekaa katikati.
 Wa kwanza kushoto ni Sengiyumva  Gasiligwa na Saimon Berege wakiwa kwenye picha ya ukumbusho katika jengo la veta
Wa kwanza kushoto ni Saimoni Berege, wa pili ni Lusajo mwalimu wa Veta wa tatu ni Gasiligwa  wa nne Juma Nyumayo na wa tano ni mhariri mkuu wa Peramiho printing Oswald Ngonyani

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO