Friday 5 July 2013

"HARUSI YANGU NA PENNY NITAIFANYA LEADERS CLUB, WATU WATAINGIA KWA KIINGILIO KISICHOPUNGUA TSHS 10,000/=".....DIAMOND

SIYO siri kwamba wapenzi wasio na kificho, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Penny Mungilwa wana malengo ya kuja kuishi kama mke na mume lakini maajabu ni namna mwanamuziki huyo alivyopanga sherehe ya ndoa yao iwe siku ikifika.
 
Nasibu Abdul ‘Diamond’.Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Diamond alisema kuwa yamekuwepo maneno ya chinichini kuwa ameshatoa mahari na siku si nyingi ataingia kwenye maisha ya ndoa ila ukweli ni kwamba kila kitu kinafanyika kwa umakini na mashabiki watajulishwa hatua kwa hatua.

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO