Monday 29 July 2013

TBC SONGEA WAMNYONYOA JOGOO FM 6 KWA 1

 Toka kulia ni Issa Rashidi aliye wanyonyoa bao 4, katikati ni Tamimu Adamu mchezaji wa Jogoo Fm na wa mwisho ni Hamza Juma
 Baada ya Issa Rashidi kuwanyonyoaa 4 bila uluma shabiki wa Jogoo akaamua kupiga picha na mnyonyoaji wa TBC
 Hakika Jogoo hawata msahau Issa Rashidi
 Hawa ni wachezaji wa TBC Songea
 Gerson Msigwa akitoa maelezo na namna ya kumnyonyoa Jogoo FM pia nae akawanyonyoa Moja
Toka kushoto ni mwakilishi wa ITV Songea Nathan Mtega , Hanna Mayige mkuu wa kanda (TBC Songea) na Good mfanyakazi wa TBC wakiangalia mchezo katika uwanja wa Sokoine
Hapa ilikuwa ni kabla ya mchezo kuanza toka kulia ni Mathew Chisala, Issa Rashidi, Shekhan Mzaina,Rauph Mohamed na Hamza Juma
VIA/demashonews

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO