Saturday 22 June 2013

BARAZA LA MADIWANI MBINGA LAGAWANYIKA NA KUZAA NYASA


 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu akizungumza katika kikao cha uvunjaji wa baraza la madiwani wa wilaya ya Mbinga leo hii katika ukumbi wa Maendeleo
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu akionyesha hati za utambulisho wa Halmashauri mbili za nyasa na mbinga kabla yta kukabidhi hati hizo
 Mkurugenzi wa Wilaya ya Nyasa Shaib Mnunduma akipokea hati ya utambulisho wa Halmashauri ya wilaya ya Nyasa
Toka toka kushoto kwako aliyekaa ni mkuu wa Wilaya ya Mbinga Senyi Ngaga na aliyesimama ni  Mkurugenzi mpya wa Halmashauri ya Wilaya Mbinga Hussen Ngaga akizungumza jambo wakati wa Baraza la madiwani wa Halmashauri hiyo kabla ya kuvunjwa.
 Mkuu wa wilaya ya Nyasa Ernest Kahindi akizungumza baada ya kutangazwa na mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Said Thabiti Mwangu  kuvunjwa  Baraza la madiwani  wa halmashauri ya wilaya ya Mbinga

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO