Wednesday 5 June 2013

LIVE TOKA LEADERS: WATU WAANZA KUAGA MWILI WA MAREHEMU NGWEA .... TAZAMA PICHA ZA HALI ILIVYO

Sasa ni mda wa kuanza kutoa heshima ya mwisho kwa ndugu yetu Albert Mangweha hapa Leaders Club

Zoezi la kumuaga mwanamuziki wa kizazi kipya, Albert Keneth Mangwea ndio unaoendelea kwa sasa katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Baada ya zoezi hili waombolezaji wataanza msafara wa kuelekea Kihonda Morogoro ambako ndipo mwanamuziki huyo aliyethibitika kuwa kipenzi cha wengi atakapopumzishwa katika nyumba yake ya milele.
Umati mkubwa wa watu wanaonekana wakimiminika katika viwanja hivyo kumuaga.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, amen

Gari lenye Mwili wa Marehemu Albert Mangwea
usalama wa kutosha
Umati wa watu waliohudhuria
Vijana wakiimba kwa huzuni kabla ya kuanza kwa shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu Albert Mangwea
 
credits: Lukaza & Mdimu blogs

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO