Sunday 23 June 2013

MAWE HATO YAPO KATIKA ZIWA NYASA KATA YA LIULI MKOANI RUVUMA YANAVUTIA KWA UTALII WA NDANI NA WA NJE


Mwonekano wa Jiwe la kihistoria kwa ubavuni linalojulikana kwa jina Pomonda lililopo Ziwa Nyasa lililotumiwa kujificha na wananchi wakati wa Vita vya Dunia.
 Viongozi wandamizi wa Shirika lisilo la Kiserikali la RUNECISO wakielekea Katika Jiwe la Pomonda kuona hali ya Pango lilipo katika Jiwe hilo ambalo lilihifadhi watu waliojificha wakati wa Vita vya 1 na vya 2 vya Dunia
 Jiwe la POMONDA likionekana kwa nje katika Ziwa Nyasa eneo la Liuli.

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO