Friday 28 June 2013

WATUMISHI 12 WA HALMASHAURI YA WILAYA ZA MKOA WA RUVUMA WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA MAKOSA YA JINAI NA UHUJUMU UCHUMI

Kamanda wa Taasis ya kuzuia na kupambana na Rushwa Mkoa wa Ruvuma     DAUDI MASIKO
      Kamanda TAKUKURU akisisitiza jambo
              Waandishi wa habari wakimsikiliza Kamanda wa Takukuru Ruvuma
-----------------------------------


                                                     
Taasisi ya kuzuia na kupambanana Rushwa TAKUKURU mkoani Ruvuma imewafikisha mahakamani watumishi 12 wahalmashauri za wilaya  katika mkoawa Ruvuma kujibu mashtaka mbalimbali ya rushwa .

Akizungumza na waandishi wa habari leo ofisini  kwake kamanda wataasis yakuzuia na kupambana na rushwawa mkoa wa Ruvuma DAUDI MASIKO amesema watumish ihao 12 

wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya rushwa chini ya sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11 ya mwaka 2007, sheria ya kanuni ya adhabu kifungu cha 16 mwaka 2002 na sheriayauhujumu uchumi kifungu namba 200 yamwaka 2002.

Watumishi waliofikishwa mahakamaniwatano wanatoka halmashauri ya wilaya ya Songea, watano wanatoka halmashauri ya wilaya ya mbinga na wengine wa wili wanatoka katika halmashauri ya wilayayaTunduru.

    
Pamoja na maelezo hayo waandishi wa habari walitaka kujua kwanini mashtaka hayo yamewakwepa wakurugenzi wakati wao ndio wanawasimamia watumishi kufanya shughuli za kiutendaji na majibu ya kamanda watakukuru Ruvuma ni haya .

Watumishi hao wanatuhumiwa kushtakiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi, makosa ya jinai .


 

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO