Kamishina
Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja wa kwanza kutoka kulia,
akizungumza na viongozi wa Tone Multimedia Group ambao ni wamiliki wa
Mtandao wa Mbeya yetu Blog, Kushoto ni Joseph Mwaisango, Fredy njeje na
Venance Matinya kutoka Gazeti la Jambo leo na Ezekiel Kamanga ambaye
alikuwa amepiga Picha.
Kamishna
wa wa Magereza Gaston Sanga (Aliye vaa Tai) ambaye pia Mkuu wa kitengo
cha Fedha na Utawala wa Jeshi Hilo,akiwa sambamba na afisa Habari wa
Jeshi la Magereza Mkaguzi Lukas A.Mboje wa pili kutoka kulia ,
Akizungumza na waandishi wa Habari.
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja kutoka kulia akizunguza na SACP C. A Keenja
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja kutoka kushoto akiwa na Mkuu wa uhamiaji Mkoa wa Mbeya Wilson Bambaganya.
Mkuu
wa kitengo cha Usafirishaji Makao makuu Jeshi la Magereza (wapili
kutoka Kulia) Mratibu Mwandamizi wa Magereza Lazaro Nyanga akiwa na
Afisa Habari wa Jeshi la Magereza pamoja na waandishi wa Habari
WANAHABARI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA MAGEREZA
Kamishina
Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja wa kwanza kutoka kulia,
akizungumza na viongozi wa Tone Multimedia Group ambao ni wamiliki wa
Mtandao wa Mbeya yetu Blog, Kushoto ni Joseph Mwaisango, Fredy njeje na
Venance Matinya kutoka Gazeti la Jambo leo na Ezekiel Kamanga ambaye
alikuwa amepiga Picha.
Kamishna
wa wa Magereza Gaston Sanga (Aliye vaa Tai) ambaye pia Mkuu wa kitengo
cha Fedha na Utawala wa Jeshi Hilo,akiwa sambamba na afisa Habari wa
Jeshi la Magereza Mkaguzi Lukas A.Mboje wa pili kutoka kulia ,
Akizungumza na waandishi wa Habari.
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja kutoka kulia akizunguza na SACP C. A Keenja
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja kutoka kushoto akiwa na Mkuu wa uhamiaji Mkoa wa Mbeya Wilson Bambaganya.
Mkuu
wa kitengo cha Usafirishaji Makao makuu Jeshi la Magereza (wapili
kutoka Kulia) Mratibu Mwandamizi wa Magereza Lazaro Nyanga akiwa na
Afisa Habari wa Jeshi la Magereza pamoja na waandishi wa Habari
chanzo; www.mbeyayetu.blogspot.com.
No comments:
Post a Comment