Thursday 6 June 2013

WANAHABARI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA MAGEREZA

 

Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja wa kwanza kutoka kulia, akizungumza na viongozi wa Tone Multimedia Group ambao ni wamiliki wa Mtandao wa Mbeya yetu Blog, Kushoto  ni Joseph Mwaisango, Fredy njeje na Venance Matinya kutoka Gazeti la Jambo leo  na Ezekiel Kamanga ambaye alikuwa amepiga Picha.

 Kamishna wa wa Magereza Gaston Sanga (Aliye vaa Tai) ambaye pia  Mkuu wa kitengo cha Fedha na Utawala wa Jeshi Hilo,akiwa sambamba na afisa Habari wa Jeshi la Magereza Mkaguzi Lukas A.Mboje wa pili kutoka kulia , Akizungumza na waandishi wa Habari.
 Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja kutoka kulia akizunguza na SACP C. A Keenja
 Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja kutoka kushoto akiwa na Mkuu wa uhamiaji Mkoa wa Mbeya Wilson Bambaganya.
 Mkuu wa kitengo cha Usafirishaji Makao makuu Jeshi la Magereza (wapili kutoka Kulia) Mratibu Mwandamizi wa Magereza Lazaro Nyanga akiwa na Afisa Habari wa Jeshi la Magereza pamoja na waandishi wa Habari
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja katikati  akiwa katika na picha ya pamoja na Kamishna wa wa Magereza Gaston (kushoto) ambaye pia  Mkuu wa kitengo cha Fedha na Utawala wa Jeshi na Mkuu wa uhamiaji Mkoa wa Mbeya Wilson Bambaganya (kulia)
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja akizungumza na baadhi ya Askari wa Jeshi la Magereza .



WANAHABARI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA MAGEREZA

Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja wa kwanza kutoka kulia, akizungumza na viongozi wa Tone Multimedia Group ambao ni wamiliki wa Mtandao wa Mbeya yetu Blog, Kushoto  ni Joseph Mwaisango, Fredy njeje na Venance Matinya kutoka Gazeti la Jambo leo  na Ezekiel Kamanga ambaye alikuwa amepiga Picha.

 Kamishna wa wa Magereza Gaston Sanga (Aliye vaa Tai) ambaye pia  Mkuu wa kitengo cha Fedha na Utawala wa Jeshi Hilo,akiwa sambamba na afisa Habari wa Jeshi la Magereza Mkaguzi Lukas A.Mboje wa pili kutoka kulia , Akizungumza na waandishi wa Habari.
 Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja kutoka kulia akizunguza na SACP C. A Keenja
 Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja kutoka kushoto akiwa na Mkuu wa uhamiaji Mkoa wa Mbeya Wilson Bambaganya.
 Mkuu wa kitengo cha Usafirishaji Makao makuu Jeshi la Magereza (wapili kutoka Kulia) Mratibu Mwandamizi wa Magereza Lazaro Nyanga akiwa na Afisa Habari wa Jeshi la Magereza pamoja na waandishi wa Habari
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja katikati  akiwa katika na picha ya pamoja na Kamishna wa wa Magereza Gaston (kushoto) ambaye pia  Mkuu wa kitengo cha Fedha na Utawala wa Jeshi na Mkuu wa uhamiaji Mkoa wa Mbeya Wilson Bambaganya (kulia)
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja akizungumza na baadhi ya Askari wa Jeshi la Magereza .

chanzo; www.mbeyayetu.blogspot.com.

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO