Saturday 15 June 2013

SHEREHE  ZA UWT NA PLO ZAFANA DAR.
 
 
 Mjumbe wa Kamati Tandaji wa PLO, Jihad akionyesha zawadi aliyopewa na wanachama wa UWT katika sherehe hiyo. Kushoto ni Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro na Kulia ni Mwenyekiti wa UWT Sophia Simba na Makamu Mwenyekiti wa PLO Tayseer Khalid

 Mwenyekiti wa UWT Sophia Simba akizungumza wakati wa sherehe hiyo

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO