Saturday 4 May 2013

RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA BALOZI TANDAU DAR.

 May 4,2013
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika  kaburi la Waziri wa Zamani wa Kazi ,Marehemu Balozi Alfred Tandau wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Marehemu Alfred Tandau ambaye  alishika nyadhifa mbalimbali serikalini alifariki tarehe 30 Mwezi Aprili wiki iliyopita. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula.

Picha na Ikulu

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO