Friday 24 May 2013

ZAO LA TUMBAKU LAWANUFAISHA WANAFUNZI VIJIJINI

 Baadhi ya maofisa wa kampuni ya uzalishaji zao la tumbaku mkoani Ruvuma wakikabidhi madawati katika shule ya msingi  Mkongo Nakawale katika wilaya ya Namtumbo ikiwa ni huduma wanazotoa katika vijiji vinavyozalisha Zao hilo.



No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO